Sunday, August 14, 2011

"KumRECRUiTeaMembers"

Je? unataka kuwa mmoja kati ya wana Kumkichwa Team?

"WE GiVE YOU CHANCE TO THiNK"

..chaguo ni lako kwakua kumkichwa ni wewe!

"..If we make every attempt to increase our knowledge in order to use it for human good,it will make a difference in us and in our world.."

Sifa za Kumkichwa TeaMember..

1."..uwe mkweli.."
katika kila kitu na mtu.

2."..uwe huru.." kushirikiana na wenzako.

3."..usiwe mbinafsi au mwoga.."
katika utoaji wa mawazo yako.

4."..uwe unajiamini uko na zawadi ndani yako na unaweza kuitumia zawadi yako.."
hakuna kisichowezekana chini ya jua mbele ya muumba.

5."..ujitoe au kujitolea.."
wewe kama wewe kwa kutumia zawadi ulizonazo..

"..if we recognize our talent, use them appropriately, and choose a field that uses those talents, we will rise to the top of our field.."

Faida za kuwa KumkichwaTeaMember...

1.kuendeleza mawazo yetu kama team.

2.kushirikiana kwa kila kitu kama team.

3.kufungua njia kwa walioshindwa kama team.

4.kutambua uwezo wako na kushauriwa ufanye nini kama team.

5.kujifunza na kugundua tusivyovijua kama Team.

Na vingine vingi ni confidential kwa watakao kuwa member tu..

"..If we live by the rule of honesty and accept our problems,we can go far down the road of Achievement.."

NOTE:KAMA WEWE Ni YUDA tutakutosa Mapema,sababu wewe ni kumkichwa..

"..When we act dishonestly, we cheat ourselves, and we cannot hide it for long.."

...mimi pia ni member kwa hiyo mamlaka yako kwenu New Members..masharti kujiunga ni marahisi tu..

Tuambie ukiwa kumkichwa TeaMember utafanya nini kwa ajili ya Kumkichwa..

Jipime uwezo wako kisha UJielezee kwa maneno machache tu..

"..YOU ARE WHAT YOU THiNK.."

Tuma kwa Email yetu..
kumkichwa@gmail.com

"..To be of use in the wolrd is the only way to happiness.."

hii ni nafasi ya pekee kwako..kama uko tayari kuwa mmoja kati ya kumkichwa Team,Jiangalie wewe na nafsi yako..kumbuka kuwa kumkichwa ni wewe..BLESS i

No comments:

Post a Comment