Monday, December 31, 2012

Jipatie Album ya Style Tatu Ya Stopa Rhymecca Yokoi

Haya sasa kwa wale ambao hawakubahatika kuupata mzigo huo hapo album ya "Style tatu" jipatie kwa bei poa ya kufungia mwaka, pili kusuport hip hop as a true fun niinbox Stopa Rhymecca Yokoi (Jerome) kama upo interested, hip hop we don't stop!peace ya'll
Kuna vichwa kama,
Producers:Q The Don, Ludigo, P Funk  Majani, Lamar, Man Water.
Featured Artists: Tegemezi, Saigon, R.i.c from Achong Pong Clan, Juma Nature,Q The Don, Farida, Nuruel na Rama D
Cover by Ohmegga 5
Kuna sauti ya Adam Mchomvu kwa interlude na Mc Hk kwa intro....
Get it piga simu +255 713537704 
kwa maelezo zaidi na bei imepozwa.. 
Hip hop we don't stop! 
Bio: Born and grew up in Arusha Tanzania he's a 4th born in Mr and Mrs Mgaya family, raised at fire street near the center of Africa between Cairo and Cape Town, has 4 brothers Roger, Allan, Dominic and Noel, two sisters Neema and Hilda aka Mama Jojojo, he's an Electrician by Professional also a Hip Hop Artist representing Arusha since early 90's, has two mix-tapes "SHULE YA BURE and "STYLE TATU" hit single like Kero no 1, Ni soo, Jiwe ft Juma Nature, Style 3, Boom bye bye and the latest Brand new flavour.

No comments:

Post a Comment