Thursday, November 24, 2011

RATIBA YA SHEREHE YA MAHAFALI YA THELATHINI NA SABA (37) YA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA TAREHE 25 NOVEMBA 2011

              Graduation Ceremony  

 Source www.ifm.ac.tz. 24th Nov. 2011

MUDA
TUKIO
MHUSIKA
Saa 3.00 Asubuhi
Mazoezi (Rehesarsals)
Wahitimu/Msherehe Mkuu (MC) /Wakuu wa Vitivo na Idara/ Kamati ya Mahafali
Saa 8.15 Mchana
Wahitimu kuchukua nafasi zao
Msherehe Mkuu /Kamati ya Mahafali

Saa 8.30 Mchana
Wageni waalikwa wawe wamekaa
Msherehe Mkuu /Kamati ya Mahafali

Saa 8.35 Mchana
Kuwasili kwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo
Mkuu wa Chuo / Menejimenti
Saa 8.50 Mchana
Milango ya Kuingia Viwanja vya Mahafali kufungwa
Kamati ya Mahafali
Saa 9.00 Alasiri
Kuwasili kwa Mgeni Rasmi, Waziri wa Fedha na Uchumi
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo /Mkuu wa Chuo/ Menejimenti.

Saa 9.05 Alasiri
Msafara wa mgeni rasmi kuelekea viwanja vya mahafali
Mgeni Rasmi/ Mwenyekiti wa Baraza la Chuo/ Mkuu wa Chuo/ Menejimenti/ Brass Band
Saa 9.15 Alasiri
Kuundwa rasmi kwa Mahafali
Mgeni Rasmi
Saa 9.20 Alasiri
Salamu za makaribisho na kumkaribisha Mwenyekiti wa Baraza la Chuo kutoa hotuba
Mkuu wa Chuo
Saa 9.25 Alasiri
Hotuba ya Mwenyekiti wa Baraza la Chuo
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo
Saa 9.40 Alasirii
Hotuba ya Mgeni Rasmi
Naibu Waziri wa Fedha

Saa 10.00 Jioni
Kutoa zawadi kwa waliofanya vizuri
Mgeni Rasmi
Saa 10.20 Jioni
Kutunuku Vyeti
Mgeni Rasmi

Saa 11.00 Jioni
Kuvunjwa rasmi kwa Mahafali ya 37
Mgeni rasmi

Saa 11.15 Jioni
Mwisho wa Sherehe
Msherehe Mkuu



No comments:

Post a Comment