Monday, October 29, 2012

Dj Fetty HAPA UMEIPOTOSHA JAMII

 

hii ndio status ya DJ Fetty aliyoipost kwenye Page yake ya Facebook...
Dj Fetty
Lexa wa watengwa achomwa kisu, jcb ashikiliwa kwa mahojiano maana alikua wa mwisho kuwa nae, waliomchoma beto wakamatwa story ipo kwenye djfettt.blogspot.com


huyu ni mdau aliyekerwa na taarifa zisizo na ukweli ndani yake
presenter gani ww sasa, kama unaweza kutoa habari zisizo na ukweli tena kuipotosha jamii. Tafuta ukweli wa habari ndo utoe habari hewani. Kuwa wa kwanza kusambaza habari haimaanishi ww ndio wa kwanza kuipata. Usikurupuke, habari kuhusu kifo cha Lexa umekurupuka. Unatuzidushia machungu
baadae Daudi Bakari aka Daz Naledge ambaye ni mtu wa karibu na Familia ya Lexa akamshauri Dj wetu
Daudi Bakari I BET ITS BETTER YOU SEARCH FOR INFORMATION BEFORE YOU PUBLISH IT......WHO TOLD YOU LEXA GAT STABBED....?????
kAMA UMEPATA TETESI....WAAMBIE WA2 HII SIO TAARIFA RASMI....
ACHA WENGE ILI IONEKANE WE NDIO WAKWANZA KUPATA TAARIFA NA KUISAMBAZA...
HAKUNA ALIECHOMWA KISU TAFUTA TAARIFA...
 baadae Daz Naledge akatos taarifa kamili
Daudi Bakari
‎..............HII NDIO TAARIFA KAMILI............
Lexa Julius ajachomwa kisu kama inavyoandikwa kwenye vyombo vya habari....Marehemu alivamiwa na kundi la Makapurwa kwa nia ya kumuibia ...katika hali ya kujihami..walimpiga na jiwe kichwani ...ndugu zake walimrudisha Marehemu Lexa nyumbani.. Kwa bahati mbaya alifariki usingizini..Report ya POST MORT UM inasema Damu ilivujia kwenye ubongo...
....kABLA YA MAUTI YAKE .alimtaja mmoja wa wahusika...
ambayo mpaka sasa wamekamatwa wote na wamekubali kua wao ndio wahusika....


 MAREHEMU HAKUCHOMWA KISU KAMA TAARIFA ZISIZO RASMI ZINAVYOANDIKA....NA JCB HAUSIKI NA CHOCHOTE

..............................r.i.p ALEX JULIUS..................


 USIKOSE KUIPITIA KUMKICHWA BLOG AMBAPO TUTAKUA NA MAHOJIANO MOJA KWA MOJA NA DAZ NALEDGE JUU YA KIFO CHA LEXA JULIUS...USIKOSEE HII NI YA UHAKIKA...KUMKiCHWA NI WEWE!

1 comment:

  1. kuna post niliisoma kwa djfetty akisema kuwa album ya the future ina matusi ndo nlitaka nkakoment coz nimeisikiliza afu sijasikia matusi

    ReplyDelete