Friday, October 19, 2012

UJUMBE WA YUZZO KWA MA MC WOTE DUNIANI

Chindo/umbwa mzee ni Mc ninaefeel kuliko Ma Mc wote DUNIANI.
Big up blood!
  • Juniør Cuthbert Dixøn I do the same!

    Davan Trappe Namkubali sana Chindo pia!

    Kingston Bagamoyo saaana tena saana kwa kweli.nawatakia watengwa kila la kheir najua ipo ck tutawaona tena tz.ijumaa njema washaaaaabic woote wa hip hop bon kijenge1970 arusha kwa bingwa wa dunia wa ma mc chindo na shukrani saana jcb kwa kusaidia vichaa wa kitaa na babu daz kwa kuwa na sua vijana walionasa na umasikini kijenge juu vijana wanakaza afadhali mateja wamesanda.bagamoyo pia bendera inapepea dunia nzima.peace upon you.sisi sio manyani

    Askari Xygote Jombíì! The one n only...styles,vocal duuh! Yuko pekeee yuzo

    Biggie Roggie Shirima Now we are in the same team

    Hamisi Mohamed dap true rast jah bless watengwa

    Umbwa Lotuno Salute sana bro...Wewe pia kamanda wangu Nnaekukubali kwa mziki na Harakati Dunia mzima...Harakati zako Ni deep.

    Sajo Mwaiteleke umbwa mzee ndo anabweka feki Mc'z wote wanafyekwa

    Man Fure Nikweli yuzo umbwa nishaida niko magetoni saizi na msikiliza.! Xalute xana chindo?

    Erick Masasi Hakuna swari wala daught juu ya nyang'au,pamoja man

No comments:

Post a Comment