Friday, October 19, 2012

Maoni Ya Watanzania Kuhusiana Na Udini..Kumkichwa Spread LOVE

 
Tanzania ni miongoni mwa nchi chache ambazo mtu anaweza kukutana na watu asiowafahamu na kupatana nao kwa mda mfupi bila hata kujua dini wala kabila jamani tusifike mbali tukagombana ndugu sisi kwa tofauti ya dini au itikadi.
 
Mwislam, mkristo, msikiti, kanisa, padre, sheikh, biblia, quran, Mtume, Yesu.. aren't the messeges the same ? Peace, love, harmony ? Why should we fight each other instead of fighting for each other? Where is the love ?
Hakuna mtanzania mwislamu, mtanzania mkristo, mtanzania mpagani, mtanzania hindu, tupo WATANZANIA tu... nawapenda watanzania wenzangu wote... One Country - One People - CHANGE TANZANIA !
NAJICKIA VBAYA SANA NINAPOCKIA UISLAMU / WAISLAMU TUNALAUMIWA KUHUSIANA NA FUJO ZINAZOENDELEA JIJINI DAR...

ASILIMIA KUBWA YA WASHKAJI ZANGU NI CHRISTIANS NA TUNAPENDANA SANA!!
 
...unajua onyo la 'ukweli' ukiambiwa unasahau....afu unakuja kukumbuka baada ya 'tukio'...afu unajifanya bado unasahau vilevile.....
Mungu Ibariki Tanzania Kiukweliukweli .
#BoraNipoHukuNapandaaZanguUpen
doCoachTu
‎"POLISI hawawezi kukamata WAISLAMU...Polisi inawakamata wanaovunja amani..iwe ni waislamu, wakristo au hata wasio na dini...Serikali makini haiwezi kuvumilia watu wachache wavuruge amani ya nchi hii kwa kuchafua dini ya Kiislamu"
KUNA TOFAUTI KATI YA WAUMINI WA KIISLAM NA WAFUASI WA PONDA,,SIO KILA MUUMINI WA KIISLAM NI MFUASI WA PONDA,,NAWAOMBA NDUGU ZANGU WAKRISTO MSISHUTUMU NA KUTOA MANENO MAKALI JUU YA DINI YA KIISLAM ,KWANI UISLAM KWA KUPITIA BARAZA LETU LA KIISLAM HATUTAMBUI WALA HATUSUPPORT UVUNJIFU WA AMANI UNAOFANYWA NA HAO WAHUNI WACHACHE wanaochafua na kutia doa DINI ISLAM.,,,ALLAH ATAILINDA DINI YAKE DHIDI YA waliopandikizwa chuki na kuchafua UISLAM,KWA KUFANYA MAOVU KWA KIVULI CHA UISLAM,WAISLAM WA KWELI NA WENYE IMANI WANACHUKIZWA SANA NA VITENDO HIVYO VYA UVUNJIFU WA AMANI NA UHARIBIFU WA MALI.
 
 Mama ananiambia DINI ni janga la kijiografia utapozaliwa ndipo imani yako itakapoangukia...ukishajua jua hili HAKUNA MATATA. Wakiuana haya, we angalia kwa mbali. Kwa shujaa huenda kilio kwa muoga huenda kicheko...!
         ####KumkichwaSpreadLove####

Toa maoni yako hapa chini kwa facebook au gmail..Ahsante

No comments:

Post a Comment