Friday, October 19, 2012

Breaking News....Taarifa zilizonifikia hivi punde..Kariakoo hali ni tete

Kariakooo
Haya ni maeneo ya kariakoo..hao ni wanajeshi

Jmani kariakoo kumegeuka uwanja wa vita...Ni mabomu tu ndo tunayasikia hapa...Jmani mungu tusaidie hili janga liishe...
Naona pilika pilika hapa posta mpya.. Asogee mtu
Kariakooooo,Posta,Magomeni Si Mchezo!!!!
‎..MUNGU ibark Tanzania Bara..MUNGU ibark Tanzania Visiwani..MUNGU ibark JAMHURI YA MUUNGANO WATANZANIA..MUNGU wabark Watanzania..MUNGU ubark MUUNGAN0...
*HUSTLE 1*
Kimenuka kariakoo — at Kariakoo.
Taarifa zilizonifikia hivi punde znasema hivi hali ndg? mtulie majumbani/ ofisi! mwepuke kwenda mjini tayar nimekutana na magar ya FFU yanakwenda mjn wametandazwa asikari wengi sana kuna tetes kuwa kuna fujo badala ya swala ya Ijumaa Asante mjuze na nduguyo
 Endelea kutembelea Blog yako ya kumkichwa for updates

No comments:

Post a Comment