Thursday, May 31, 2012

AMKA,ELIMISHA,IMARISHA,OKOA,UNGANISHA..(a,e,i,o,u)

a,e,i,o,u

-Je unataka kujua namna kutengeneza blog,fb page,group?
-Je una makala au maandiko kukuhusu wewe, maisha yako, biashara au fani yako ungependa yachapishwe katika blog yetu ya jamii?
-Je unataka kutangaza biashara yako nasi?
je una hadithi/story kali au una kipaji unataka dunia ikifahamu?
-Una kitu cha muhimu ulichokifanya/alichokifanya mtu ungependa jamii itambue mchango wako au wake?
-hata kama ni link wewe tutumie tutaunganisha..


-usisite wala usiogope kuhusu gharama,Ni BUREE, tunarudia tena tutaifikisha kwa jamii yako BUREE..


Tutumie kupitia email ya kumkichwa@gmail.com tutawasilisha kwa hadhira wako..tuma wala usihofu..uamuzi ni wako iwe ni nyimbo, picha, makala, hadithi, video au tukio/event yoyote ile, ama kitu chochote kitakachoifanya jamii yako iamke, ijifunze, ijiimarishe, ijiokoe na kujiunganisha..kumbuka kumkichwa ni wewe!
..Vigezo na masharti kuzingatiwa.. 
Tembelea link hii kwa maelezo zaidi.. www.kumkichwa.blogspot.com

No comments:

Post a Comment