Tuesday, July 24, 2012

New Song_Hard_STREET TAPE_ Prod. Daz Naledge


               

                 Dab Muzik Entertainment na watengwa recs Wanakuletea Street-Tape iliotengenezwa na  Daz Naledge Kwenye studio za Watengwa ‘Imeitwa Street-Tape kwa sababu imetengenezwa bila kuwa na dj wa kuchanganya nyimbo hizi katika mfumo wa mixtape’ amesema Daz…Wakati tape hii inaingia mtaani Naledge amemtumia Deejay Ph wa ufaransa mzigo mzima, kwa ushirikiano wa huyu jamaa pamoja  watatengeneza MIXTAPE ambayo itauzwa world-wide kuanzia mwezi wa kumi mwaka huu. Street-Tape hii inapatikana kwa TShs.3000/=. Nyimbo hii iko kwenye Street-Tape hii na kuanzia sasa imeachiliwa rasmi kama promo ya mzigo mzima….Kwa wale ambao wako nje ya Arusha Mcheki Daz kwenye Facebook Page yake ya Daz Naledge ama kwa namba 0719 300 204 Jipatie nakala yako sasa. 

No comments:

Post a Comment